"T-SHIRTS" ZA 'KiRAKA' na MICHORO MINGINE MIKALI SASA ZINAPATIKANA...Simu/Whatsapp # +255 655 006545...ZINA UBORA ULIOMAKINIKA...KARIBUNI SANA

PIMA AFYA..!

Huu ni ugonjwa wa Watanzania wengi miongoni mwetu, kupima Afya mpaka aumwe azidiwe, lakini angepima na kujua afya yake mapema asingefikia hatua ya kuugua na hata kufikia kulazwa. Anaongeza gharama nyingi za matibabu na pia kukwamisha kazi. Jali Afya Yako. MUUNGWA NI VITENDO.

0 Maoni/Comments:

Post a Comment