"T-SHIRTS" ZA 'KiRAKA' na MICHORO MINGINE MIKALI SASA ZINAPATIKANA...Simu/Whatsapp # +255 655 006545...ZINA UBORA ULIOMAKINIKA...KARIBUNI SANA

GADDAFI

Je, wataweza kumzika...??

2 Maoni/Comments:

  1. Hayendi popote yule kwani wale wenye nia ya kumzika hawana vifaa. Vifaa anavyo Mmerikani; naye yule anatabia na sifa za kuacha janga pale aliposaidia kuzika watu.

    Angalia Somalia, Afghanistan, Iraq hata Vietnam ilichukua muda mrefu kabla haijaimarika baada ya Mjomba Sam kuipitia!

    ReplyDelete